
Pub Ghost Beryl Caught Live on CCTV Camera
The unwanted visitor at The Manchester Arms in Hull say the spirit flickers lights, turns off machines, plays with hair and even causes floods.
Owners Lisa and Mark Fowler took over the Old Town pub ten weeks ago and have been experiencing some spooky goings-on ever since.
Owners Lisa and Mark Fowler took over the Old Town pub ten weeks ago and have been experiencing some spooky goings-on ever since.
Flaviana Matata Received 10,000 USD Donation For Her Foundation
Diamond Empowerment Fund (D.E.F.), is an international non-profit organization co-founded by Russel Simmons to support educational empowerment programs and initiatives in African nations where diamonds are a natural resource like in Tanzania. Countries like Tanzania,Botswana and South Africa are part of Russel Simmons and his Diamond Empowerment Project
DEF’s envisions a future for these countries to be strong, stable, economically prosperous and socially empowered
Flaviana Matata who is Miss Universe Tanzania 2007 is currently pursuing her modelling career in United States.
Russell Simmons is the third richest figure in hip hop, having a net-worth estimate of $340 million as of April 2011. Russell Simmons and Rick Rubin founded the pioneering hip-hop label Def Jam and created the clothing fashion lines called Phat Farm, Argyleculture, and American Classics.
C Pwaa Ameamua Kugawa Hongo ya Vocha Ili Umpigie Kura

Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama CPwaa anayetamba na ngoma kadhaa hapa Tzee sasa
Latest info kutoka kwa msanii ni kwamba baada ya kufahamu kwamba zimebaki siku chache tu aende nchini South African kwa ajili ya kuwania Tuzo za Channel O sasa alichokifanya yeye leo kupitia katika ukurasa wake wa Facebook ni kwamba alikuwa akitoa vocha kuanzia Jero mpaka buku 5 ili umpigie kura. angalia hapo jinsi alivyokuwa akitoa hizo vochaa.!!!


Latest info kutoka kwa msanii ni kwamba baada ya kufahamu kwamba zimebaki siku chache tu aende nchini South African kwa ajili ya kuwania Tuzo za Channel O sasa alichokifanya yeye leo kupitia katika ukurasa wake wa Facebook ni kwamba alikuwa akitoa vocha kuanzia Jero mpaka buku 5 ili umpigie kura. angalia hapo jinsi alivyokuwa akitoa hizo vochaa.!!!


Wengine Wamekutwa Wamegandiana Wakivunja Amri ya Sita Temeke!!

Shiliningi miluioni 5 za kitanzania zinahitajika ili kuwanusuru watu wawili walionasiana wakivunja amri sita.
Watu wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wanadaiwa kukutwa wakiwa wamenasana wakati wakifanya tendo maalum la watu walio katika mahusiano (mke na mume) na kwakua wao sio mke na mume halali wamenasiana.
Mume wa mwanake ambae amefikwa na maswaibu hayo ya mwaka jijini Dar es Salaam anahitaji kiasi hicho cha fedha ili atoe PASSWORD ya pin hiyo kali aliuyoiweka katika eneo takatifu la unyumba wao.
Taarifa za awali kutoka Temeke zinapasha kuwa wawili hao wapo katika hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam kwa unasuaji ambao wadadisi wa mambo hasa ya kijamii wanadai Hospitali hawataweza kuwanasua isipokuwa kwa wataalm wa jadi hasa Mume wa Mwenye mke ambaye aliwekewa tego.
Blog hii itatujuza zaidi juu ya tukio hilo ambalo hadi sasa limekuwa ni gumzo jijini na kujaza umati mkubwa wa watu na kusababisha polisi kutumia mabomu ya machozi kutawanya watu eneo la tukio.
Ule Ushafu wa Diamond Umezidi Kukuzwa, Lazma Ajute

HII NI PICHA YAKE ILIYO EDITIWA NA WATU NA KSAMBAZWA FACEBOOK
Iko haja ya wasani wetu pamoja na watu wengine kuwa makini sana na upigaji wa picha za nusu uchi kwa sababu ni rahisi sana kwa watu wenye ujuzi kuzi edit hizo picha.....
Sote tunakumbuka kuwa wakati wa fiesta ya mwaka huu ,diamond na kundi lake walivua nguo na kubakiza boksa tu....
Nadhani lengo lao lilikuwa ni kukuza jina.Bahati mbaya sana lengo hilo halikutimia na badala yake jamii iliwashangaa na kuwachukulia vibaya.......
Mshangao huo haukuishia hapo.watu wasio na kazi nao wamekuja na lao jipya baada ya kuziedit picha hizo na kuzisambaza mitandaoni hasa facebook na twitter.....
Wakati napekua, nilisituka sana kukutana na hiyo picha ikiwa katika ukurasa mmoja wa facebook.Badilikeni wasanii wetu.......mambo mengine mnajitakia wenyewe..

HII NI PICHA YAKE ORIGINAL AMBAYO ILITOLEWA KATIKA MAGAZETI
PICHA NIMEIKUTA HAPA: << PICHA YAKE>>
Iko haja ya wasani wetu pamoja na watu wengine kuwa makini sana na upigaji wa picha za nusu uchi kwa sababu ni rahisi sana kwa watu wenye ujuzi kuzi edit hizo picha.....
Sote tunakumbuka kuwa wakati wa fiesta ya mwaka huu ,diamond na kundi lake walivua nguo na kubakiza boksa tu....
Nadhani lengo lao lilikuwa ni kukuza jina.Bahati mbaya sana lengo hilo halikutimia na badala yake jamii iliwashangaa na kuwachukulia vibaya.......
Mshangao huo haukuishia hapo.watu wasio na kazi nao wamekuja na lao jipya baada ya kuziedit picha hizo na kuzisambaza mitandaoni hasa facebook na twitter.....
Wakati napekua, nilisituka sana kukutana na hiyo picha ikiwa katika ukurasa mmoja wa facebook.Badilikeni wasanii wetu.......mambo mengine mnajitakia wenyewe..

HII NI PICHA YAKE ORIGINAL AMBAYO ILITOLEWA KATIKA MAGAZETI
PICHA NIMEIKUTA HAPA: << PICHA YAKE>>
Subscribe to:
Posts (Atom)