Pages

Ule Ushafu wa Diamond Umezidi Kukuzwa, Lazma Ajute

DarSlam 
HII NI PICHA YAKE ILIYO EDITIWA NA WATU NA KSAMBAZWA FACEBOOK
Iko haja ya wasani wetu pamoja na watu wengine kuwa makini sana na upigaji wa picha za nusu uchi kwa sababu ni rahisi sana kwa watu wenye ujuzi kuzi edit hizo picha.....
Sote tunakumbuka kuwa wakati wa fiesta ya mwaka huu ,diamond na kundi lake walivua nguo na kubakiza boksa tu....
Nadhani lengo lao lilikuwa ni kukuza jina.Bahati mbaya sana lengo hilo halikutimia na badala yake jamii iliwashangaa na kuwachukulia vibaya.......
Mshangao huo haukuishia hapo.watu wasio na kazi nao wamekuja na lao jipya baada ya kuziedit picha hizo na kuzisambaza mitandaoni hasa facebook na twitter.....
Wakati napekua, nilisituka sana kukutana na hiyo picha ikiwa katika ukurasa mmoja wa facebook.Badilikeni wasanii wetu.......mambo mengine mnajitakia wenyewe..
DarSlam
HII NI PICHA YAKE ORIGINAL AMBAYO ILITOLEWA KATIKA MAGAZETI
PICHA NIMEIKUTA HAPA: << PICHA YAKE>>

Check out Video ya Wanene's Cypher#2

With 10 seconds moment of silence for our brother Lex J.
Wanene's Cypher presents Cypher #2 - Daz Naledge, Chabba , JCB  and Boywonda (FlyButGhetto-FBG)

Mzungu Kichaa ft Dela - African Hustle (Audio)

DarSlam
 Audio

Congratulations Mr President!


WASHINGTON—President Barack Obama captured a second White House term in yesterday’s U.S. election, blunting a mighty challenge by Republican Mitt Romney as Americans voted for a leader they knew over a wealthy businessman they did not.
Obama, America's first black president, easily captured far more than the 270 electoral votes needed for victory and further cemented his place in American history Tuesday, despite having his first term dominated by stubbornly high unemployment and Americans' anxiety about their future.
Obama's re-election to another four-year term should guarantee the future of his signature legislative achievement, a health care overhaul, which Republicans hoped to overturn. Internationally, it means the United States is likely to continue a foreign policy emphasizing multinational partnerships in dealing with issues such as Syria's civil war and Iran's nuclear program — an approach Romney derided as weak. Obama's victory could also come as a relief to China since Romney had pledged to declare it a currency manipulator, potentially leading to sanctions and escalating trade tensions.

Kama Umekataliwa na Demu Jaribu Hii Facebook Tricky

DarSlam
 
Mwili Nyumba added a new photo. — with Habipty Badru.
Erick Waziri and 3 others like this.


Habipty Badru Kwa nini unanfanya hivi.? @mwili
3 hours ago · Like

Mwili Nyumba Sababu unaijua kwani imeandikwaje?
2 hours ago · Like

Habipty Badru Plz nshakwmbia ctaki.!
2 hours ago · Like

Habipty Badru Come inbox.
2 hours ago · Like

Mwili Nyumba Ok
2 hours ago · Like

Lie Detector - Understand when Someone is Lying to You.

DarSlam
 You should have felt the pain of being Lied to. When this happens in a Relationship, its really unbearable. When you realise the truth by your loved ones, cheating and lies keeps haunting us.
What if you figure out early that someone is Lying to you?? Won't it be better to know the Truth early? Yes, it will be. This Skill of Detecting LIES will help you everywhere in Judging a Person and help you to decide, upon whom to put Faith on.
Here are some Gestures which has been observed to accompany when a Person Lies.
A Liar will make little or no eye contact.
  • He will keep his arms stiff and move it mechanically as if directed by some external force against his WILL.
  • His hands may try to cover his mouth.
  • Touching the nose and Scratching behind the ear
  • He shrugs his Shoulders a little trying to be Casual.
  • The persons hand Gestures will be inappropriate to his Words.
  • Expressions won't be related to Verbal meaning. For example Frowning while saying "I love you" 
  • Unusual head movements
The List below shows how a Liar Reacts.
  • When you ask a Question and if he looks to his right-top ie. your Left while or before answering, then he is telling you a constructed story. Well, this is for a Right handed person and a Left handed person does exactly the opposite.
  • A liar might place some object like Coffee cup, books etc. between both of you.
  • He will not feel comfortable sitting in front of you and may move his head and Body away from you.
  • FAKE SMILE -  When you smile naturally, the facial muscles..

DarSlam's Got Talent - Check Out Some Skills!

Obama Take Us Forward Official Video 2012

Lord Eyez Anatia Huruma, Anahitaji Msaada Maalum!

  MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, kutoka Kundi la Nako 2 Nako Soldiers, Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’, Ijumaa iliyopita alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo, Kinondoni jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka sita ya wizi wa vitu mbalimbali yanayomkabili. 
DarSlam
Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’ akipelekwa kwa 'Pilato'.
Lord Eyez aliyekuwa na uso wa aibu, akijiziba sura kwa viganja vya mikono yake kukwepa kamera, alipandishwa kizimbani mishale ya saa 5 asubuhi na kuanza kusomewa mashtaka yanayomkabili mbele ya Hakimu Mfawidhi, Betty Mark.
Akisoma mashitaka yaliyokuwa yanamkabili mbele ya Hakimu Betty, karani wa mahakama hiyo, Sharifa Dunia aliiambia mahakama kuwa mnamo Septemba Mosi, 2012, saa 4 asubuhi, maeneo ya Kinondoni Shamba jijini Dar, mshtakiwa alimuibia Richard Mrema, ‘control box’ ya gari aina ya Toyota Colora yenye namba za usajili T 671 APK.
Karani huyo alimsomea mashitaka mengine na kuieleza mahakama kuwa mnamo Septemba 17, mwaka huu, maeneo ya..

Aliemvulia Nguo Obama Awa Bilionea

 
  Juan James Rodriguez baada ya kukamatwa na polisi wakati akitangaza tovuti ya bilionea Alki David .
MWANAUME ambaye alijitokeza mbele ya rais wa Marekani, Barack Obama akiwa uchi wa mnyama huku akiwa na maandishi ya kutangaza tovuti ya bilionea Alki David, amejishindia zawadi ya dola milioni 1 toka kwa bilionea huyo.
DarSlam 
 Juan James Rodriguez, 24, alitiwa mbaroni na polisi baada ya kujitokeza mbele ya rais wa Marekani, Barack Obama akiwa uchi wa mnyama huku akiwa na maandishi makubwa kifuani na tumboni ya kutangaza tovuti ya bilionea Alki David.
Rais Obama alikuwa Philadelphia akikipigia kampeni chama chake wakati Juan alipojitokeza mbele yake ghafla akiwa..