Pages

Mabeste ft Jux - Sirudi Tena

Mkutano wa waTanzania Wanaoishi Ujerumani Kukutana na Wafadhili! Jumapili 28-10-2012

DarSlam
UNION OF TANZANIANS IN GERMANY (UTU)
KUKUTANA NA WAFADHILI NA WAHISANI ZAIDI YA 150 !!!!
WORLD MISSION SUNDAY 28.OCT. 2012
Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU) Unapenda kuwakaribisha Watanzania wote wanaoishi ujerumani, Katika Hafla ya WORLD MISSION SUNDAY. itakayofanyika Katika ukumbi Uliopo Hauptstr. 30, D-63814 Mainaschaff Jirani sana na Mji wa Aschaffenburg Siku ya Jumapili Tarehe 28.10.2012, Kuanzia saa 04:00 za Asubuhi. Ambapo Wasamaria wema na Wafadhili wapatao zaidi ya..

Jah Kimbuteh with Roots and Kulture Band


Muhasisi wa mwanzo wa mziki wa hisia kali " Reggae" Afrika ya Mashariki
Unapouzungumzia mziki wa Reggae au mziki wa hisia kali nchini Tanzania
na Afrika Mashariki
jina la Jah Kimbuteh atuwezi kulikwepa, mwanamziki huyu mtanzania na
bendi yake "Roots and
Kulture band,aliyoianzisha mwaka 1983.
Jah Kimbuteh ni

Mr President

Maonyesho ya Sober House Recovery Art Exhibition 17 – 19 OCT 2012.

DarSlam
Drug Free Zanzibar (DFA) imeandaa maenyesho ya Sober House Recovery Art Exhibition. Katika maonyesho hayo vijana wanaoishi katika nyumba za kurekibishia tabia waathirika wa dawa za kulevya (Sober Houses) watapata fursa ya kuonyesha vipaji vyao katika fani za uchoraji, ushonaji na uchongaji wa vitu mbalimbali. Pia wanajishughulisha mafunzo ya lugha za kiingereza na kifaransa, yoga, drama pamoja na shughuli mbalimbali za uzalishaji mali .“Sober Houses” hizi zimesaidia mamia kwa mamia ya vijana kutoka sehemu mbalimbali nchini kuachana na matumizi ya dawa za kulevya wakiwemo watu maarufu katika fani mbalimbali. Lengo la haya yote ni kuwasaidia vijana ili warudi katika mstari na kurudi katika jamii zao stahiki.
Maonyesho haya yatafanyika katika ukumbi wa Alliance Francaise Upanga kuanzia tarehe 17 mpaka tarehe 19/10/2012, saa tatu asubuhi mpaka saa kumi na mbili jioni. Kiiingilio ni bure na wote mnakaribishwa kushiriki ili kuwasaidia na kuwatia moyo vijana wetu ambao wameamua kuachana na matumizi ya dawa za kulevya na kuwa mfano bora kwa vijana wenzao ambao bado wanajishughulisha na matumizi pamoja na biashara ya dawa hizi.
Kwa maelezo zaidi, kusaidia pamoja na ushauri unaweza kuwasiliana na ndg. Suleiman Mauly 0782 000426 au ndg. Alois Ngonyani 0713 334423/0686 334423.

Mjini na Vijijini

DarSlam
DarSlam

Toleo Jipya la Bodaboda


DarSlamDarSlam 
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam

Daredevil Felix Baumgartner Supersonic Skydive Breaks Records, Space Jump 128,100ft

DarSlam
"There was a period of time where I really thought, 'I am in trouble'," the 43-year-old said after he successfully leapt into the stratosphere from a balloon hovering near the edge of space 24 miles above Earth, breaking three world records including the highest skydive ever.

"I was fighting all the way down to regain control because I wanted to break the speed of sound," he added, explaining that he almost hit a panic button to release a 'drogue' parachute to slow him down.
"And then I hit it," he smiled, clearly hugely relieved. "After a couple of seconds, I had that..

Top Fashion Capitals of The World

DarSlam
LONDON, ENGLAND
Big things are happening in London. When it comes to shopping in London, there is a lot of variety, according to McKinney. There is also plenty of British "quirk" to be found.
DarSlam
NEW YORK, USA
 From designer labels on Fifth Avenue to knock-offs in Chinatown, there are plenty of choices for those who want to spend a little, or..

Iran to Block Google


Iran has planned to ban Google and Gmail forever to ensure their Cyber Security.They have developed their own domestic network and is the reason to block Google and Gmail.Government deputy minister on Sunday that Google search engine and Gmail will be blocked within few hours.

Until further notice Google and Gmail will be filtered.The Iranian Students’ News Agency (ISNA) said this ban is connected with Anti-Islamic film on Youtube.But its not official.
Iran has one of the biggest Internet filters of any country in the world, preventing normal Iranians from accessing countless sites on the official grounds they are offensive or criminal.
But many Iranians believe the block on sites such as Facebook and YouTube is due to their use in anti-government protests after the disputed re-election of President Mahmoud Ahamdinejad in 2009.
Iranian Media told that full domestic network will be ready by March 2013