
Mahakama Yaruhusu Mau Mau Kuishtaki Uingereza
Baadhi ya wazee wa Mau Mau
MAHAKAMA nchini Uingereza imetoa maamuzi kuwa wazee watatu wa Kenya ambao waliteswa na majeshi ya utawala wa kikoloni wa Uingereza wanaweza kufungua mashtaka dhidi ya Serikali ya Uingereza, na hivyo kuendelea mbele madai yao mengine ya ukatili. Maamuzi hayo yametolewa Oktoba 05, 2012 katika mahakama hiyo mjini London.
Serikali ya Uingereza ambayo kwa miaka mitatu imekuwa ikiajribu kuzuia hatua zozote za kisheria kuchukuliwa, imesema leo kuwa imesikitishwa na uamuzi huo na kwamba inapanga kukata rufaa. Ofisi ya Mambo ya Nje ya Uingereza imesema kuwa haipingi kuwa kila mdai wa kesi hiyo alinyanyaswa na kuteswa wakati wa utawala wa kikoloni, lakini hata hivyo itakata rufaa kutokana na kwamba maamuzi hayo yanaweza kuwa na madhara makubwa ya kisheria.
Wazee hao Paulo Nzili mwenye umri wa miaka 85, Wambugu Wa Nyingi mwenye umri wa miaka 84 na Jane Muthoni Mara mwenye umri wa miaka 73, walifanyiwa ukatili wa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete Apokea Jezi Toka kwa Waziri Mkuu wa Canada
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea jezi toka kwa Waziri Mkuu wa Canada Mhe Stephen Harper katika jengo la Bunge la Seneti la nchi hiyo, Alhamisi Oktoba 4, 2012
Chemchem ya Majimoto
Wakazi wa kijiji cha Majimoto wilayani Mlele wakiteka maji kwenye chemchem ya Majimoto ambayo hutoa maji ya moto yasiyopungua wingi hata wakati wa kiangazi.

Innocence of Muslims, Anti-Islam Filmmaker Jailed
The man behind the anti-Muslim film that has caused violent protests around the world has been jailed.
It's claimed that 55-year-old Nakoula Basseley Nakoula, who has been in hiding, violated the terms of his probation imposed over a previous conviction for cheque fraud.
Under the conditions of his release, he was forbidden from using the internet or using aliases without permission from his probation officer.
It's thought he may now face further charges for eight probation violations in all, which could carry a further sentence of two years in prison.
Judge Suzanne Segal suggested that Nakoula was likely a
Subscribe to:
Posts (Atom)


