Pages

Machangudoa Wachezea Kichapo Kikali Kwa Kujiuza Ndani ya Mwezi Mtukufu

Machangu wamekiona cha mtemakuni! Wakati Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ukiwa katika chungu cha nane, akina dada wanaofanya biashara haramu ya kuuza miili maarufu kama Machangudoa au Chipsi Funga au Wauza Sukari Tamu, wamekula viboko laivu baada ya kutuhumiwa kuwatega Waislamu.
dar    Tukio hilo lilijiri katikati ya wiki hii ambapo vijana wa Kiislamu waliodai ni wa kikundi cha Jumuiya ya Uamsho Tanzania Bara walizunguka mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na kuwashushia fimbo machangu ambao kwa sasa wametapakaa kila kona jijin
dar
WATUMIA BAJAJ
Kwa mujibu wa shuhuda wetu, waumini hao, wakiwa wamevaa kanzu huku wakitembea na bakora mkononi walichukua jukumu la kukodi Bajaj na kuzunguka maeneo mbalimbali jijini inapofanyika biashara hiyo haramu ya ukahaba.
BARABARA YA SHEKILANGO
Vijana hao waliolenga kukomesha biashara hiyo hasa kipindi hiki cha mfungo walianzia kwenye Barabara ya..

Did You Know This About Copyright? - Copy and Paste!

   Copyright Disclaimer Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for "fair use" for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infringing. Non-profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use.
                                                 -Visit Wikipedia

London 2012 Olympic Opening Ceremony

If you missed the opening ceremony Here’s a selection of just a few of the images for you.
darslamproductions.blogspot.comdarslamproductions.blogspot.comdarslamproductions.blogspot.com
darslamproductions.blogspot.com
Mr Bean At The Olympic 2012 Opening! click Read more..

Facebook Failure.

DarslamDarslam

Watch this Very Funny Clip

Nasib Abdul 'Diamond' Amchana Baba Yake Ndani ya Mwezi Mtukufu!

SIKU chache baada ya kuibuka kwa baba aliyemlea Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ aitwaye Abdul Juma na kudai kuwa mwanaye huyo amemtelekeza na hamjali, mwanamuziki huyo amemchana mzazi wake huyo, Ijumaa lina kitu kamili. Akizungumza redioni kupitia Clouds FM, Jumatatu wiki hii, Diamond alidai kushangazwa na mzazi wake huyo huku akimtaka kuacha kusema maneno hayo kwani siyo mazuri. 
 diamond
“Kiukweli ni vitu ambavyo mimi vimenishangaza sana kwa sababu sijui chochote na nisingependa nisikie suala la mzazi wangu kusema mimi ni mtoto wake, sijui nini na nini kwamba mimi nafanya starehe sihusiki na yeye, siyo kauli nzuri kiukweli, ina maana ananijua kwamba mimi ni mwanaye baada ya kuwa Diamond?  
 Msikilize Diamond mwenyewe kwa mengi zaidi aliyoongea kuhu baba yake..!

First Eleven of The World Team!

darslamproductions.blogspot.com 
Ronaldo
darslamproductions.blogspot.com 
Wayne Rooney
darslamproductions.blogspot.com 
Luis Figo
darslamproductions.blogspot.com
Lionel Messi

Kaka

Michael Ballack

Ronaldinho

David Beckham
darslamproductions.blogspot.com
Thierry Henry

Carlos Tevez
darslamproductions.blogspot.com
Christiano Ronaldo

David Villa
 
Didier Drogba
The greatest of all time – Pele
darslamproductions.blogspot.com

Ajira Kwa Wote - Nafai za Kazi!!

BAADHI YA ASKARI WA KAMPUNI HIYO.Darslamproductions.blogspot.com
KAMPUNI YA NEW IMARA SECURITY CO.LTD
 INAHITAJI WALINZI 100 WENYE SIFA ZIFUATAZO;
1. AWE MTANZANIA MWENYE UMRI WA KUANZIA MIAKA 18 NA KUENDELEA.
2. AWE NA CHETI CHA KUHITIMU MAFUNZO YA MGAMBO, SKAUTI AU KUSTAAFU KWA HESHIMA KATIKA JESHI LA POLISI, JWTZ, JKT NK.
3.AANDIKE BARUA YA MAOMBI NA KUAMBATANISHA PICHA NNE PASSPORT SIZE.
4.BARUA ZA WADHAMINI WAWILI ZENYE PICHA MOJA MOJA
5 BARUA YA AFISA MTENDAJI MAHALA ANAPOTOKEA
MBEYA ofisi makao makuu ipo eneo la viwanja vya Sokoine Mbeya Mjini mkabala na benki ya NMB au katika matawi yake yaliyopo wilaya ya Kyela eneo la Stendi ya Mabasi, Tunduma karibu na CCM, Rungwe (Tukuyu) karibu na Hotel ya Land Mark.
DODOMA Tupo karibu na Soko la Kariakoo.
MTWARA ofisi zipo eneo la soko kuu mkabala na Msikiti Mkuu.
LINDI ofisi zipo Barabara ya Kawawa
DAR ES SALAAM ofisi zipo Buguruni Mandela Road
IRINGA tupo uwanja wa Samora.
NJOMBE tupo eneo la Makambako karibu na Posta.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU
0754 443 953, 0715 166045
0784 728691, 0715 295206

DMV Summer Picnic.

Darslamproductions.blogspot.com

Dj Choka Aliiba TAULO la CHOO cha Hotelini Baada ya Shooting ya Hii Video!!

Dj Choka Mwizi wa taulo la hoteli, kabla ya kuangalia hii video pata kwanza Ushuhuda zaidi kutoka kwa Gossip Cop na You heard! ya 12th June 2012
 Dj Choka, first from right