Nasib Abdul 'Diamond' Amchana Baba Yake Ndani ya Mwezi Mtukufu!
SIKU chache baada ya kuibuka kwa baba aliyemlea Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ aitwaye Abdul Juma na kudai kuwa mwanaye huyo amemtelekeza na hamjali, mwanamuziki huyo amemchana mzazi wake huyo, Ijumaa lina kitu kamili.
Akizungumza redioni kupitia Clouds FM, Jumatatu wiki hii, Diamond alidai kushangazwa na mzazi wake huyo huku akimtaka kuacha kusema maneno hayo kwani siyo mazuri.
“Kiukweli ni vitu ambavyo mimi vimenishangaza sana kwa sababu sijui chochote na nisingependa nisikie suala la mzazi wangu kusema mimi ni mtoto wake, sijui nini na nini kwamba mimi nafanya starehe sihusiki na yeye, siyo kauli nzuri kiukweli, ina maana ananijua kwamba mimi ni mwanaye baada ya kuwa Diamond?
Msikilize Diamond mwenyewe kwa mengi zaidi aliyoongea kuhu baba yake..!
First Eleven of The World Team!
Ajira Kwa Wote - Nafai za Kazi!!
BAADHI YA ASKARI WA KAMPUNI HIYO.
KAMPUNI YA NEW IMARA SECURITY CO.LTD
INAHITAJI WALINZI 100 WENYE SIFA ZIFUATAZO;
1. AWE MTANZANIA MWENYE UMRI WA KUANZIA MIAKA 18 NA KUENDELEA.
2. AWE NA CHETI CHA KUHITIMU MAFUNZO YA MGAMBO, SKAUTI AU KUSTAAFU KWA HESHIMA KATIKA JESHI LA POLISI, JWTZ, JKT NK.
3.AANDIKE BARUA YA MAOMBI NA KUAMBATANISHA PICHA NNE PASSPORT SIZE.
4.BARUA ZA WADHAMINI WAWILI ZENYE PICHA MOJA MOJA
5 BARUA YA AFISA MTENDAJI MAHALA ANAPOTOKEA
MBEYA ofisi makao makuu ipo eneo la viwanja vya Sokoine Mbeya Mjini mkabala na benki ya NMB au katika matawi yake yaliyopo wilaya ya Kyela eneo la Stendi ya Mabasi, Tunduma karibu na CCM, Rungwe (Tukuyu) karibu na Hotel ya Land Mark.
DODOMA Tupo karibu na Soko la Kariakoo.
MTWARA ofisi zipo eneo la soko kuu mkabala na Msikiti Mkuu.
LINDI ofisi zipo Barabara ya Kawawa
DAR ES SALAAM ofisi zipo Buguruni Mandela Road
IRINGA tupo uwanja wa Samora.
NJOMBE tupo eneo la Makambako karibu na Posta.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU
0754 443 953, 0715 166045
0784 728691, 0715 295206
Dj Choka Aliiba TAULO la CHOO cha Hotelini Baada ya Shooting ya Hii Video!!
Dj Choka Mwizi wa taulo la hoteli, kabla ya kuangalia hii video pata kwanza Ushuhuda zaidi kutoka kwa Gossip Cop na You heard! ya 12th June 2012
Dj Choka, first from right
London 2012 Olympics - Ready to go!!
The finishing touches are being done to London's Olympic venues as the Games get underway.Although
football and archery kick off before Friday night's Opening Ceremony,
most sports don't start until the weekend.

And Olympics workers have been ensuring that all the venues are up to scratch ahead of the events taking place.
And Olympics workers have been ensuring that all the venues are up to scratch ahead of the events taking place.
Pretty in pink: Gymnasts at a practice session at the North Greenwich Arena ahead of the start of the Olympics
Hair-raising: Great Britain's Louis Smith - sporting a new haircut - tests out the horizontal bar at the North Greenwich Arena
Keep up, lads: This dazzling photograph was take of Smith as he went through his moves on the pommel horse
Amid sweltering heat in the capital -
with temperatures touching 31 degrees in places - the army of helpers
have been busy ensuring everything is ready.
It means London will..
Lie Detector - Understand when Someone is Lying to You.

What if you figure out early that someone is Lying to you?? Won't it be better to know the Truth early? Yes, it will be. This Skill of Detecting LIES will help you everywhere in Judging a Person and help you to decide, upon whom to put Faith on.
A Liar will make little or no eye contact.
- He will keep his arms stiff and move it mechanically as if directed by some external force against his WILL.
- His hands may try to cover his mouth.
- Touching the nose and Scratching behind the ear
- He shrugs his Shoulders a little trying to be Casual.
- The persons hand Gestures will be inappropriate to his Words.
- Expressions won't be related to Verbal meaning. For example Frowning while saying "I love you"
- Unusual head movements
The List below shows how a Liar Reacts.
- When you ask a Question and if he looks to his right-top ie. your Left while or before answering, then he is telling you a constructed story. Well, this is for a Right handed person and a Left handed person does exactly the opposite.
- A liar might place some object like Coffee cup, books etc. between both of you.
- He will not feel comfortable sitting in front of you and may move his head and Body away from you.
- FAKE SMILE - When you smile naturally, the facial muscles..
Subscribe to:
Posts (Atom)