Is this how we should support the one we love? by providing what they need just to be in their good books?
And Outside of the house there is security too!!
Msanii huyo alipanda stejini majira ya saa tisa kasoro usiku na moja kwa moja alilishambulia jukwaa kwa mbwembwe za hali ya juu huku akiongozwa na madansa wake wasafi classic crew. Bob Junior aliimba nyimbo tatu ikiwemo nyimbo ya ‘Na nini’, ‘oyoyo’ na his latest Mega hit ‘Nichum’.
Wakati huhuo nilihisisi na kutabiri kama jamaa yuko tofauti na jamii kwa kupenda sifa za kijinga. Ndipo aliponithibitishia katika jambo moja tu ambalo lilikuwa linasubiriwa na
watu wengi na halikufanyika. Kutambulishwa kwa Yule kipenzi cha Bob Junior
ambaye kwa wiki nzima matangazo pamoja na Bob Junior mwenyewe alikuwa
akithibitisha kuwa atamtambulisha kwa..