Pages

Jamaa afumwa akichinja Mbwa kwa ajili ya mishikaki na supu ya kuuza.

 
 
 
 
  Picha ya ukumbusho: Wananchi wakimpiga picha bwana Rajabu.
 
            -Ilikuwa ni kwa ajili ya mishikaki, supu ya kuuza
Na Haruni Sanchawa
UKISTAJABU ya Musa utaona ya firauni, hali hiyo iliwatokea wakazi wa Ubungo Kibangu pale mkazi mmoja aliyetajwa kwa jina la Rajabu aliponaswa na wananchi akimchuna mbwa.
Baada ya Rajabu kufumwa akifanya kitendo hicho Jumamosi ya wiki iliyopita, alipewa kibano na wananchi wenye hasira kali akakiri kwamba mbwa huyo alikuwa akimuandaa ili akamuuzee kama mishikaki na supu kwa wateja wake.
Shuhuda wetu aliliambia gazeti hili kuwa baada ya wananchi kumtilia shaka anapopata nyama ya kuuza kutokana na hali yake ya kiuchumi kuwa duni, waliunda kikosi kazi cha kumchunguza ndipo arobaini yake ikatimia.
Mtoa habari huyo alisema baada ya wananchi kuchukizwa na kitendo hicho waliamua kumfikisha kijana huyo Kituo cha Polisi cha Kibangu.
“Kijana huyo alipohojiwa na polisi alikiri kufanya biashara hiyo kwa muda mrefu,” kilisema chanzo chetu.
Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, ACP Charles Kenyela alisema kuwa taarifa juu ya tukio hilo hajazipata na akaahidi kuzifuatilia na kusisitiza kuwa kama ni kweli kijana huyo alifanya kitendo hicho atachukuliwa hatua za kisheria.
Source: Global publishers

Check out Babu Jinga anavoambiwa!


Another Day Another Scam Same Place, Ouagadougou

Good day my dear friend
   It's just my urgent need for a foreign partner that made me to contact you for this transaction. However, this correspondence is private. I got your contact from the chambers of commerce here in my country ouagadougou,burkina faso.
   I am Mr Saidou Compaore The Chief international relation Foreign  Remittance Unit of my bank here in Ouagadougou Branch, Burkina Faso in West Africa.I want to inquire from you if you can handle this transaction for mutual benefits/life opportunity for you and me.
   I Have An Opportunity To The Sum Of Sixteen Million, Five Hundred Thousand United States Dollars (US$16.500.000.00) To Transfer Into Your Nominated Bank Account. I will provide the full details of this business transaction when once we known each other as business lie with trust. I trust you and you alone, the fund is going to be shared at the ratio of 60/30, that is 60% for me and 30% for you While 10% will be used for our expenses during the transaction.Please treat this business proposal with utmost confidentiality till we receive this fund into your Nominated Bank Account and send me the following Information’s: