Pages

Angalia Video ya Mwanajeshi Mstaafu Akidaiwa kuua Mtoto


 Mwanajeshi mstaafu Samwel Haule wa eneo la Amboni mafuriko jijini Tanga anadaiwa kumuua mtoto mlemavu wa viungo mwenye umri wa miaka 17 Risala Ally kwa kumkata kwa kisu sehemu za tumboni na kusababishautumbo kumwagika hatua iliyoharakisha kifo chake muda mchache baada ya kufikishwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga Bombo.

No comments: